TEHRAN (IQNA) - Siku kama ya leo miaka 26 iliyopita, February 25, 1994, Mzayuni mmoja aliyekuwa na misimamo ya kufurutu ada aliwashambulia na kuwamiminia risasi Waislamu waliokuwa wakitekeleza ibada ya Swala katika Msikiti wa Haram ya Nabii Ibrahim mjini al Khalil (Hebron), Palestina inayokaliwa kwa mabavu na kuua shahidi 29 miongoni mwao.
Habari ID: 3472504 Tarehe ya kuchapishwa : 2020/02/25